man city chupuchupu kuanza mashindano vibaya
Posted by
Unknown
| Monday, August 20, 2012 at 2:59 AM
0
comments
Labels :
jana ilikuwa siku ngumu kwa bingwa mtetezi wa epl manchester city baada ya kubanwa mbavu na timu bingwa ya daraja la kwanza southampton baada ya kushinda kwa tabu 3-2 nyumbani shuklan ziwaendee carlos tevez dk 40, edin dzeko 72, samir nasri80, na magori ya wapinzani wao yani southampton gyalifungwa na R.lambert dk 59, S. davis dk 68
Subscribe to:
Post Comments (Atom)