ebana ile ngoma iliyokuwa inasubiliwa kwa hamu kubwa ndo hii hapa sasa ni kuhusu maisha ya m2 mweusi ndani ya africa fanya kuisikiliza basi
artist: YB Master Stata
song: Street reserch
crew: UB sound...
ub sounds imerudi tena na hii ndo moja ya ngoma ya member ni bonge moja la ngoma fanya kuisikiliza alafu tuone
artist: andaki
song: fundi wa punch
crew: UBsounds
...
Haya ndio majina ya washindi wa tuzo kubwa za nchini Nigeria The Headies zilizotolewa jana Jumamosi.
ALBUM OF THE YEAR
The Invasion – P-Square – WINNER
ARTISTE OF THE YEAR
Wizkid – WINNER
SONG OF THE YEAR
Oliver...
Unakumbuka tuliwahi kuandika kuwa baada ya Rick Ross kupiga show kwenye Fiesta mwaka huu kuna msanii mwingine mkubwa anaweza kuja Tanzania hivi karibuni? Well, msanii huyo anaweza kuwa ni Chris Brown…. Yesss Breezy...
Picha na Maktaba Barabara ya Darajani Visiwani Zanzibar. Askari wa kutuliza ghasia wameshaanza kurusha mabomu ya machozi kutawanya kundi la uamsho ambao wapo Barabara ya Darajani wanachoma matairi na kurusha mawe...
WAKATI ikidaiwa kuwa yupo kwenye mahusiano na watu maarufu kwa kimya kimya kimwana Jokate mwegelo, amepasua jipya na kudai kuwa aliwahi kutoka kimapenizi na mcheza kikapu maarufu Hasheem Thabeet lakini hakudumu kutokana...
Kampuni ya Azam Marine inayomiliki boti ziendazo kasi october 1 2012 imeingiza Zanzibar meli mpya na ya kisasa itakayochukua zaidi ya abiria 1500 na magari 200 ambapo meneja Mkuu wa Kampuni ya Azam Marine,...