Follow us on:
mtaa kwa mtaa mji kwa mji nchi kwa nchi bara kwa bara

Pages

BRAND NEW TRACK
ebana ile ngoma iliyokuwa inasubiliwa kwa hamu kubwa ndo hii hapa sasa ni kuhusu maisha ya m2 mweusi ndani ya africa fanya kuisikiliza basi artist: YB Master Stata song: Street reserch crew: UB sound...
BRAND NEW TRACK
ub sounds imerudi tena na hii ndo moja ya ngoma ya member ni bonge moja la ngoma fanya kuisikiliza alafu tuone artist: andaki song: fundi wa punch crew: UBsounds ...
P-Square na Wizkid watamba kwenye tuzo za Headies za Nigeria
Haya ndio majina ya washindi wa tuzo kubwa za nchini Nigeria The Headies zilizotolewa jana Jumamosi. ALBUM OF THE YEAR The Invasion – P-Square – WINNER ARTISTE OF THE YEAR Wizkid – WINNER SONG OF THE YEAR Oliver...
Exclusive: Chris Brown anaweza kutua Tanzania mwezi December
Unakumbuka tuliwahi kuandika kuwa baada ya Rick Ross kupiga show kwenye Fiesta mwaka huu kuna msanii mwingine mkubwa anaweza kuja Tanzania hivi karibuni? Well, msanii huyo anaweza kuwa ni Chris Brown…. Yesss Breezy...
ANGALIA ..PICHA VURUGU ZILIZOTOKEA LEO ZANZIBAR
Picha na Maktaba Barabara ya Darajani Visiwani Zanzibar. Askari wa kutuliza ghasia wameshaanza kurusha mabomu ya machozi kutawanya kundi la uamsho ambao wapo Barabara ya Darajani wanachoma matairi na kurusha mawe...
JOKATE.........HASHIMU NA MIMI HATUKUDUMU MUDA MREFU KIMAPENZI.........
WAKATI ikidaiwa kuwa yupo kwenye mahusiano na watu maarufu kwa kimya kimya kimwana Jokate mwegelo, amepasua jipya na kudai kuwa aliwahi kutoka kimapenizi na mcheza kikapu maarufu Hasheem Thabeet lakini hakudumu kutokana...
HIZI NDO PICHA ZA MELI MPYA YA AZAM
Kampuni ya Azam Marine inayomiliki boti ziendazo kasi october 1 2012 imeingiza Zanzibar meli mpya na ya kisasa itakayochukua zaidi ya abiria 1500 na magari 200 ambapo meneja Mkuu wa Kampuni ya Azam Marine,...