Follow us on:
mtaa kwa mtaa mji kwa mji nchi kwa nchi bara kwa bara

Pages

BRAND NEW TRACK

ebana ile ngoma iliyokuwa inasubiliwa kwa hamu kubwa ndo hii hapa sasa ni kuhusu maisha ya m2 mweusi ndani ya africa fanya kuisikiliza basi artist: YB Master Stata song: Street reserch crew: UB sounds

BRAND NEW TRACK

ub sounds imerudi tena na hii ndo moja ya ngoma ya member ni bonge moja la ngoma fanya kuisikiliza alafu tuone artist: andaki song: fundi wa punch crew: UBsounds

P-Square na Wizkid watamba kwenye tuzo za Headies za Nigeria

Haya ndio majina ya washindi wa tuzo kubwa za nchini Nigeria The Headies zilizotolewa jana Jumamosi. ALBUM OF THE YEAR The Invasion – P-Square – WINNER ARTISTE OF THE YEAR Wizkid – WINNER SONG OF THE YEAR Oliver Twist – D’banj – WINNER RECORDING OF THE YEAR Ara – Brymo – WINNER PRODUCER OF THE YEAR Tee-Y Mix – Super C Season (Naeto C) – WINNER BEST MUSIC VIDEO (AWARD GOES TO DIRECTOR) Chop My Money Remix (P-Square) – Jude Okoye – WINNER BEST R&B SINGLE Soundtrack – May D – WINNER BEST POP SINGLE Kukere – Iyanya – WINNER BEST R&B/ POP ALBUM The Invasion – P-Square – WINNER BEST RAP SINGLE Angeli – Vector ft. 9ice – WINNER BEST RAP ALBUM E.L.I – Ice Prince – WINNER LYRICIST ON THE ROLL Vector – Angeli – WINNER BEST COLLABO Orobo – Sound Sultan Ft. Excel & Flavour – WINNER BEST VOCAL PERFORMANCE (MALE) Wande Coal – Private trips – WINNER BEST VOCAL PERFORMANCE (FEMALE) Tiwa Savage – Love Me, Love, Love Me – WINNER AFRICAN ARTISTE OF THE YEAR Sarkodie (Ghana) – Azonto – WINNER BEST STREET HOP Gaga Crazy – Chuddy K – WINNER NEXT RATED Davido – WINNER HIP HOP WORLD REVELATION OF THE YEAR Wizkid – WINNER

Exclusive: Chris Brown anaweza kutua Tanzania mwezi December

Unakumbuka tuliwahi kuandika kuwa baada ya Rick Ross kupiga show kwenye Fiesta mwaka huu kuna msanii mwingine mkubwa anaweza kuja Tanzania hivi karibuni? Well, msanii huyo anaweza kuwa ni Chris Brown…. Yesss Breezy huyu huyu ex wa mtoto Rihanna. Issue ni kwamba mwezi December mwaka huu kampuni maarufu ya uaandaji wa show nchini Afrika Kusini pamoja na Channel O watamdondosha Chris kwenye ‘Carpe Diem Tour’ ambapo kampuni kubwa ya Tanzania inadaiwa kuweza kutumia nafasi hiyo pia kumdondosha Breezy ndani ya Dar es Salaam. Chris atakuwa na show Johannesburg, December, 15, Durban December, 17 na Cape Town December 19 na December 20. Watch this space kufahamu issue hii kama kweli itahappen!!!

ANGALIA ..PICHA VURUGU ZILIZOTOKEA LEO ZANZIBAR

Picha na Maktaba Barabara ya Darajani Visiwani Zanzibar. Askari wa kutuliza ghasia wameshaanza kurusha mabomu ya machozi kutawanya kundi la uamsho ambao wapo Barabara ya Darajani wanachoma matairi na kurusha mawe kwa askari. Fujo hizo zimetokana na kukamatwa kwa kiongozi wa Uamsho Sheikh Farid. Chanzo cha habari hizi ni Mdau wetu Shangwe kutoka Visiwani Zanzibar. Tutaendelea kuwapa Update zaidi hapo baadae.
Huyu ndiye Kiongozi wa Kundi linaloitwa UAMSHO la Zanzibar Sheikh Farid aliyekamatwa huko Visiwani Zanzibar. Kundi hilo shughuli zake ni za mihadhara ya Kidini hasa ya Kiislam.

JOKATE.........HASHIMU NA MIMI HATUKUDUMU MUDA MREFU KIMAPENZI.........

WAKATI ikidaiwa kuwa yupo kwenye mahusiano na watu maarufu kwa kimya kimya kimwana Jokate mwegelo, amepasua jipya na kudai kuwa aliwahi kutoka kimapenizi na mcheza kikapu maarufu Hasheem Thabeet lakini hakudumu kutokana na sababu mbalimbali. Ikidaiwa kutoka kimapenzi na mchezaji huyo maarufu wa kikapu anayekipiga nchini Marekani, ni baada ya jina lake kuwa kubwa pamoja na umaarufu wa fedha ndiyo ulimfanya kimwana huyo kuvutiwa. Jokate alidakwa na DarTalk ili kueleza namna anavyoandamwa na stori za kuwa amekuwa kwenye mahusiano na watu kimya kimya ambapo idadi yao inaweza kuwa kubwa, ambapo alidai kuwa suala lake la mahusiano hakuna mtu linayemuhusu kwani yenye si kama wasanii wa bongo muvi. Aliongeza kuwa alikuwa kimapenzi na Hasheem lakini haimanishi kuwa kutokudumu kwao kulitokanaa na habari kuwa yenye ni ‘gold digger’ hapana, bali ni sababu ambazo hakutaka kuziweka wazi. Alidai kuwa mara nyingi maneno yamekuwa yakisikika kwa watu hata kwenye mitandao lakini haoni kama kuna umuhimu wowote wa kujibu kwani haitaji kupoteza muda wa kujibizana na watu wasio na faida yoyote kwake.

HIZI NDO PICHA ZA MELI MPYA YA AZAM

Kampuni ya Azam Marine inayomiliki boti ziendazo kasi october 1 2012 imeingiza Zanzibar meli mpya na ya kisasa itakayochukua zaidi ya abiria 1500 na magari 200 ambapo meneja Mkuu wa Kampuni ya Azam Marine, Hussein Mohammed Saidi amesema meli hiyo itafanya safari zake kati ya Dar es Salaam, zanzibar na Pemba. Meli inaitwa AZAM SEALINKI na imetengenezwa nchini Ugiriki na inatayarishiwa eneo maalumu litakalotumika kwa kupakia na kushusha abiria na mizigo ambapo pamoja na kuwasili Kampuni ya Azam pia inatarajia kuleta meli nyingine ya abiiria itayoitwa Kilimanjaro namba 4.